Chorus
Utukufu kwa Mungu juu
Na amani duniani
Na amani kwa watu woten{Wenye - wenye mapenzi,
Watu - wenye mapenzi
Mema - wenye mapenzi
Watu - wenye mapenzi mema }*2
Verse 2
Tunakusifu tunakuheshimu
Tunakuabudu tunakutukuza
Tunakushukuru kwa ajili ya
Utukufu wako, wako mkuu
Verse 3
Ee Bwana Mungu mfalme wa mbinguni,
Mungu Baba mwenyezi ee Bwana Yesu Kristu
Mwana wa pekee ee mwana Mungu
Mwanakondoo wa Mungu, mwana wa Baba
Verse 4
Mwenye kuondoa dhambi za dunia
Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia
Pokea ombi letu ewe mwenye kuketi
Kuume kwa Baba, utuhurumien
Verse 5
Kwa kuwa ndiwe uliye peke yako
Peke yako mkuu ee Bwana Yesu Kristu
Pamoja na roho mtakatifu
Katika utukufu, wa Mungu Baba amina