Verse 1
Utukufu kwa Mungu Mbingunin[Juu mbinguni]
Na amani kwa wateulen[Na amani kwa wateule]
Verse 2
Tunakutolea maombi yetu,
Tunakushukuru Mungu Baba Mwenyezi
Verse 3
Usifiwe Yesu Mkombozi wetu
Mwana wake Mungu sadaka yetu
Verse 4
Utuwie radhi ewe Mungu mwana
Unayeondoa dhambi za dunian
Verse 5
Ewe mwenye kuketi kuume kwa Baba
Utuhurumie utusikilize
Verse 6
Ewe peke yako ndiwe Mtakatifu
Peke yako Bwana peke yako Mkuun
Verse 7
Pamoja na Roho Mtakatifu
Katika utukufu wake Mungu Baba