Chorus
Utukufu kwa Mungu juu--
Na amani kwa watu wenye mapenzi mema
Verse 2
Tunakusifu, tunakuheshimu tunakuabudun
Verse 3
Tunakusifu, tunakuheshimu, mfalme wa Mbingu
Verse 4
Ee Bwana Mungu, mfalme wa Mbinguni, Mungu Baba Mwenyezi
Verse 5
Ewe Yesu Kristu Mwana wa pekee, Mwana wake Baba
Verse 6
Mwenye kuondoa, dhambi za dunia, utuhurumie
Verse 7
Mwenye kuketi, kuume kwa Baba, pokea ombi letun
Verse 8
Peke yako Bwana peke yako mkuu peke yako mkombozi
Verse 9
Pamoja na Roho, Roho Mtakatifu, milele amina