Chorus
Utukufu kwa Mungu na amani kwa watu wote duniani *2
Verse 2
Tunakuheshimu tunakusifu,
Tunakuabudu twakutukuza
Verse 3
Tunakushukuru mfalme wa Mbingu,
Mwana wa pekee mwana wa Baba
Verse 4
Unayeondoa makosa yetu,
Utuhurumie tusikilizen
Verse 5
Kuume kwa Baba unapoketi,
Mtakatifu mkuu tuhurumien