Chorus
[t] Utukufu kwa Mungu Mbingunin[w] Utukufu (kwako) Mungu Mbinguni
Na amani (kote) dunianin(kwa) watu wa mapenzi mema.
Verse 2
Tunakuheshimu tunakusifu,
Tunakuabudu twakutukuza ee Bwana
Verse 3
Tunakushukuru mfalme wa Mbingu
Mwana wa pekee mwana wa Baba ee Bwana
Verse 4
Unayeondoa makosa yetu
Utuhurumie tusikilize ee Bwana
Verse 5
Kuume kwa Baba unapoketi
Mtakatifu mkuu tuhurumie ee Bwanan
Verse 6
Roho Mtakatifu pamoja nawe,
Ndani yake Bwana unatukuzwa ee Bwana