SectionsEucharistUtukufu Kwa Mungu (Misa Elizabeti)

Utukufu Kwa Mungu (Misa Elizabeti)

Ordinary Time,MarianEucharist
Chorus

Utukufu kwa Mungu juu, na amani duniani,

Kwa watu wenye mapenzi mema *2

Verse 2

Tunakusifu tunakuheshimu

Sifa ni kwako milele yote

Tunakuabudu, tunakutukuza -

Twakushukuru kwa utukufu -

Mfalme wa mbingu, Baba mwenyezi -n

Verse 3

Yesu Kristu, mwana wa pekee -

Mwanakondoo, mwana wake Baba -

Uondoaye dhambi za dunia -

Utuhurumie utusikilize -

Verse 4

Unayeketi kuume kwa Baba -

Mtakatifu mkuu Yesu Kristu -

Na pamoja naye Roho Mtakatifu -

Ndaniye Baba. Amina. Amina -