Verse 1
Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni, Na amani iwenkwa watu wenye mapenzi mema duniani kote.
Chorus
Tunakusifu tunakusifu, tunakuheshimu
Tunakuabudu, tunakutukuza
Verse 3
Tunakushukuru Mungu kwa ajili, ya utukufu wako
Mkuu ee Bwana ni Mungu ndiwe mfalme wa mbinguni.n
Verse 4
Ee Baba mwenyezi Bwana Yesu Kristu, e mwana wa pekee
Ee Mungu Mwanakondoo wa Mungu mwana wake Baba
Verse 5
Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie
Tuhurumie maombi yetu Bwana uyapokee
Verse 6
Mwenye kuketi kuume kwa Baba utuhurumie
Kwa kuwa ndiwe peke yako ni mtakatifu
Verse 7
Peke yako Bwana peke yako mkuu ewe Yesu Kristu
Pamoja naye Roho Mtakatifu milele yote.