Verse 1
Utukufu kwa Mungu, na amani duniani
Kwa watu wenye mapenzi mema
Kwa wenye mapenzi mema
Verse 2
Tunakusifu Bwana tunakuheshimu
Twakuabudu Bwana tunakutukuza
Twakushukuru Baba Mwenyezi mfalme wa Mbinguni
Verse 3
Ewe Bwana Yesu Kristu, mwana wa pekee
Mwanakondoo wa Mungu, mwana wake Baba
Uondoaye makosa yetu tuhurumie
Verse 4
Tunakusifu Bwana utusikilize
Wewe unayeketi kuume kwa Baba
Ni pekee Bwana ni mtakatifu mkuu Yesu Kristun
Verse 5
Pamoja naye Mungu, Roho Mtakatifu
Katika utukufu wake Mungu Baba
Milele yote milele yote amina amina