Verse 1
Utukufu juu kwa Mungu, na amani duniani
Kwa watu wenye mapenzi, kwanwatu wenye mapenzi mema
Wenye mapenzi mema
Chorus
Tunakusifu [Bwana] tunakuheshimu
Tunakuabudu tunakuabudu
Bwana tunakutukuza
Verse 3
Tunakushukuru Mungu kwa ajili
Ya utukufu wako mkuu
E Bwana ndiwe Mungu Mfalme wa milele
Verse 4
E Mwenyezi Mungu Baba Ewe Bwana Yesu Kristu
Mwana wa pekee wa Mungu,
Mwanakondoo wa Mungu, Mwana wake Baban
Verse 5
Unayeondoa dhambi, dhambi zote za dunia
Bwana utuhurumie, Bwana utuhurumie
Pokea ombi letu
Verse 6
Mwenye kuketi kuume kuume kwake Mungu Baba
Bwana utuhurumie, pekee yako Bwana
Ndiwe mtakatifu
Verse 7
Pekee yako ndiwe Bwana, pekee yako mkuu
Ee Bwana Yesu Kristu, na Roho Mtakatifu
Milele na milele