Utukufu Ii

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianEucharist
Chorus

Utukufu juu kwa Mungu mbinguni

Na amani duniani kwa watu wa mapenzinwenye mapenzi mema.

Tunakusifu (Baba) tunakuheshimu.

Tunakuabudu (Baba) tunakutukuza.

Verse 2

Baba tunakushukuru kwa ajili ya utukufu,nutukufu wako mkuu

Verse 3

Ewe Mungu ni mfalme wa Mbinguni,

Mungu Baba, Baba ndiwe Mwenyezi.

Ewe Bwana Yesu Kristu ndiwe mwananwake Mungu, ndiwe mwana wake Baba.

Verse 4

Ewe Bwana Mungu Mwana kondoo wake

Mungu, Mwana wake Baba

Verse 5

Ewe mwenye kuondoa zetu dhambi zandunia, Bwana utuhurumie.

Verse 6

Ewe mwenye kuketi kuume kwake Baba,newe utuhurumie.

Verse 7

Ni kwa kuwa ndiwe uliye pekee yako

Mtakatifu, Bwana Yesu Kristu.

Verse 8

Na pamoja naye Roho Mtakatifu katikanutukufu wa Mungu Baba.