Chorus
Usinikemee Bwana kwa hasira yako
Uniadhibu Bwana kwa ghadhabu yako,
Unihurumie ee Bwana Mungu wangu
Uniponye Bwana mwenyezi Mungu
Kwani mimi Bwana mimi ni dhaifu,nnatetemeka mpaka mifupanin{[b:] Ewe mwenyezi Mungu) –
Ukawie mpaka lini Bwana unigeukie uniokoe}*2
Verse 2
Na nafsi yangu imefadhaika sana,nwewe Bwana mpaka lini
Bwana urudi uiokoe nafsi yangununiokoe mimi Bwana
Verse 3
Nimechoka kwa kuugua kwangu nateseka kitandani
Kila usiku nalilowesha Godoro langunkwa machozi yangu
Verse 4
Jicho langu limeharibika kwa masumbufu ya dunia
Na kuchakaa kwa sababu ya haonwanaoniudhi mimi Bwana