Verse 1
{Usiku wa Raha, uwinguni kung'aa
Wachunga shambani waangazwa gizani } *2
Na Neno waambiwa la Mtoto mzaliwa
Verse 2
{Wachunga twende upesi
Tuje yakini tupate kuamini }*2
Aliyotuelezea Mungu Mwenyezi
Verse 3
{Wakaja haraka moyo kuwaka
Mwokozi mtafuta bandani wamkuta } *2
Maria na Yosefu na Mtoto Mtukufu