Chorus
Sisi wana wa dunia tukumbuke manenonaliyosema Bikira Maria, alipowatokeanwatoto wa Fatima: Lucia, Fransisi na
Yasinta. (Alisema tusali, tusali rosari,ntupate a-amani,Na tuwaombee walenwakosefu, wasio na mwombezi.
Na wasio mwamini Yesu Mwokozi wamuamini ili waokoke) *2
Verse 2
Mama yetu anahuzunishwa sana, nanmatendo yetu maovu, anajua adhabunyetu ijayo, hivyo anaona huruma sana.
Verse 3
Atusihi tuache dhambi kwa dhati tuachenkumkosea Yesu, tuyatubu makosa yetu yote,nili Bwana atupatie amani.
Verse 4
Tusitende maovu na dhambi, atusihi
Mama wa Yesu, tusimkasirishe tena
Mungu asije tutupa motoni milele.
Verse 5
Ibada ya moyo saf wa Maria tuizingatiendaima, tuipokee kumunyo takatifu kilanjumamosi ya kwanza ya mwezi.