SectionsExit Usia Wa Mama Maria

Usia Wa Mama Maria

Marian,Marian,Marian,Marian,Marian,Marian,Marian,MarianExit
Chorus

Sisi wana wa dunia tukumbuke manenonaliyosema Bikira Maria, alipowatokeanwatoto wa Fatima: Lucia, Fransisi na

Yasinta. (Alisema tusali, tusali rosari,ntupate a-amani,Na tuwaombee walenwakosefu, wasio na mwombezi.

Na wasio mwamini Yesu Mwokozi wamuamini ili waokoke) *2

Verse 2

Mama yetu anahuzunishwa sana, nanmatendo yetu maovu, anajua adhabunyetu ijayo, hivyo anaona huruma sana.

Verse 3

Atusihi tuache dhambi kwa dhati tuachenkumkosea Yesu, tuyatubu makosa yetu yote,nili Bwana atupatie amani.

Verse 4

Tusitende maovu na dhambi, atusihi

Mama wa Yesu, tusimkasirishe tena

Mungu asije tutupa motoni milele.

Verse 5

Ibada ya moyo saf wa Maria tuizingatiendaima, tuipokee kumunyo takatifu kilanjumamosi ya kwanza ya mwezi.