Upokee sadaka yetu *2,
Ee Bwana Mungu – twakutolea
Twakutolea – vipaji vyetu, Vipaji vyetu – sadaka kwako
Upokee sadaka yetu *2,
Ee Bwana Mungu –tunakuomba
Tunakuomba – uzipokee, Uzipokee – sadaka zetu
Upokee mazao yetu *2,
Ee Bwana Mungu – ni mali yako
Ni mali yako – twakutolea, Twakutolea – mazao yetu
Upokee na fedha zetu *2,
Ee Bwana Mungu –ni jasho letu
Ni jasho letu – twakutolea, Twakutolea – ni jasho letu
Upokee na shida zetu *2,
Ee Bwana Mungu – tunakuomba
Tunakuomba – uzipokee, Uzipokee – na shida zetu
Upokee mkate wetu *2,
Ee Bwana Mungu – ni kazi yetu
Ni kazi yetu – tunayofanya, Tunayofanya – twakutolea
Upokee divai yetu *2,
Ee Bwana Mungu – ya mizabibu, Ya mizabibu –ntunayopanda, Tunayopanda – kwa shamba zetu