Chorus
Uniondolee dhambi, nitakate,nunioshe niwe mweupe pe *2
Verse 2
Nakiri makosa yangu,nnaziona dhambi zangu,nunioshe niwe mweupe pe n
Verse 3
Mimi kweli mkosefu,ntangu kuzaliwa kwangu,nmwenye dhambi tangu tumboninmwa mama yangu
Verse 4
Hivyo unafanya vyema,nwewe unaponihukumi,nuna haki unaponiadhibu n
Verse 5
Wewe wataka unyofu,nule unyofu wa ndani,nnifundishe hekima moyoni
Verse 6
Niumbie moyo safi,nna uweke ndani yangu,nroho mpya iliyo thabiti.