SectionsExitUniondolee Dhambi Nitakase

Uniondolee Dhambi Nitakase

LentExit
Chorus

Uniondolee dhambi, nitakase,

Unioshe niwe mweupe pe *2

Verse 2

Nakiri makosa yangu, naziona dhambi zangu

Unioshe niwe mweupe pe

Verse 3

Mimi kweli mkosefu, tangu kuzaliwa kwangu

Mwenye dhambi tangu tumboni mwa mama yangu

Verse 4

Hivyo unafanya vyema, wewe unaponihukumi

Una haki unaponiadhibu

Verse 5

Wewe wataka unyofu, ule unyofu wa ndani

Nifundishe hekima moyonin

Verse 6

Niumbie moyo safi, na uweke ndani yangu,

Roho mpya iliyo thabiti.