SectionsExitUnihurumie Mimi Bwana

Unihurumie Mimi Bwana

LentExit
Chorus

Unihurumie mimi Bwana

Nimetenda dhambi mimi Bwana

Ninakusihi ee Mungu wangu

Unisamehe makosa yangun(Niliyokutendea ewe Mungu wangunna jirani yangu *2)

Verse 2

Nami nimetengwa nawe Bwana nihurumie,

Mimi ni mkosefu

Verse 3

Naogopa uso wako unihurumie baba,

Mimi ni mkosefu

Verse 4

Wewe Baba Mwenye huruma unihurumie

Mimi nimetenda dhambi