SectionsThanksgivingUnavyozidi Kukawia

Unavyozidi Kukawia

LentThanksgiving
Chorus

Unavyozidi kukawia, kunisaidia Bwana,

Ndivyo na mimi, ninavyozidi kukutumainia wewe tu *2

Verse 2

Nimejaa dhambi, hivyo nafahamu,

Sistahili kuhurumiwa nawe

Verse 3

Ningekuwa mwema, ukelele wangu,

Ungefika masikioni mwakon

Verse 4

Ninavyojitahidi kukulilia,

Ndivyo ninavyozidi kuteseka