SectionsPrayers of the FaithfulUna Heri Wewe Uliyesadiki

Una Heri Wewe Uliyesadiki

Ordinary TimePrayers of the Faithful
Chorus

Una heri wewe, wewe uliyesadiki

Kwa maana yatatimizwa

Uliyoambiwa na Bwana aleluya

Verse 2

Moyo wangu wamwadhimisha Bwana

Na roho yangu imeshangilia

Mungu Mwokozi wangu

Verse 3

Kwa maana Bwana ameutazama

Kautazama unyonge wa mjaazi

Wake mjakazi wake

Verse 4

Kwa maana wewe kautazama

Tokea sasa vizazi wataniita

Mimi ni mbarikiwa

Verse 5

Kwani mwenye nguvu kanitendea

Kanitendea ametenda makuu

Nalo jina tukufu