Chorus
Una heri una heri Mama Bikira Maria *2
Verse 2
Mama wa mwokozi, Maria, Mama Bikira Mtakatifu,
Mama bora mwenye huruma, 'takuheshimu siku zote Marian
Verse 3
Bikira uliyekingiwa, mbarikiwa Mama Maria
Bikira usiye na doa, 'takutukuza daima Maria
Verse 4
Uliyebarkiwa sana, kuliko wanawake wote
Uliyejaa neema nyingi, tunakusifu Mama yetu Maria
Verse 5
Mama mwenye usafi wa moyo Mama Bikira mpendelevu
Mama Malkia mwaminifu, una heri kweli milele Marian