SectionsExitUmsihi Mwanao

Umsihi Mwanao

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Umsihi mwanao Yesu, Maria,nasamehe makosa yangu

Anitoe mashaka yote, Maria,nyaliyomo moyoni mwangu

Maria unisaidie Maria, Maria uniokoe

Mimi mwanao mwenye dhambi

Verse 2

Nionee huruma mama, mimi niliye mpotevu

Mwili wangu ni dhaifu, kwa sababu ya dhambi zangu

Verse 3

Na magonjwa niponye mama, kwa jina la mwanao Yesu

Naye Roho mtakatifu, imarishe nguvu zangu