Chorus
Umsihi mwanao Yesu Maria asamehenmakosa yangu. Anitoe mashaka yote
Maria yaliyomo moyoni mwangu.n(Maria), Maria unisaidie, Maria (Maria)nuniokoe mimi mwanao mwenye dhambi *2
Verse 2
Nionee huruma Mama miminniliyemkosefu, mwili wangu ni dhaifu,nkwa sababu ya dhambi zangu
Verse 3
Na magonjwa niponye Mama kwa jinanla mwanao Yesu, naye Roho Mtakatifu,naimarishe nguvu zangu