Umeniita Bwana Nipokee
Ordinary TimeBible Procession
Chorus
Umeniita Bwana nipokee
Umeniita Bwana nipokee
Nimeitika wito niwe mtumishi wako milele*2
Umeniita Bwana nipokee
Verse 2
Umeniita Bwana, kufanya kazi katika shamba lako
Uniongoze, niwe mtumishi wako mwaminifu
Verse 3
Ulisema, ukitaka kunifuata, ukubali kuacha yote
Nami nimekubali wito wako
Verse 4
Bila wewe mimi siwezi kitu
Neno lako Bwana liniongozen