Verse 1
Nani kati ya watala wote, wafalme wa dunia hii
Aliyewahi kuandaa karamu, akaalika watu wote
Chorus
{ Ni nani kama Bwana Yesu, mfalme wa mbingu na nchi
Anayetualika sote kwenye karamu aliyoiandaa,nbali tuwe na moyo safi } *2n
Verse 3
Sote tunaalikwa kushiriki, kwenye karamu yake Bwana,
Tukiwa tajiri au masikini, bali tuwe na moyo safi.n
Verse 4
Ishara ya mapendo makubwa kwetu, kutoka kwake Bwana Yesu
Kutoa mwili kutoa damu yake, kuzishibisha Roho zetun
Verse 5
Ni fundisho kutoka kwake Bwana, tuuonyeshe ukarimunkwa ndugu rafiki au majirani, daima maishani mwetun