Uhimidiwe

Ordinary Time,MarianThanksgiving
Verse 1

Nakutumaini wewe Mungu wa huruma

Naitumaini damu yako ilojaa upendo

Ninakuhimidi Bwana nakupenda sana

Ninakuhimidi Bwana Yesu maishani mwangu

Chorus

Uhimidiwe - uhimidiwe wewe Bwana uhimidiwe *2

Unanipenda - uhimidiwe

Unanijali - uhimidiwe

Unasamehe - uhimidiwe na kutukuzwa aee

Verse 3

Kila ifikapo kumekucha mimi naamka

Riziki mtaani Bwana mimi natafuta

Chochote kila unanipa

Na hata kama ninakosa

Tamaa mimi sitokata

Uhimidiwe ee Bwana Yesu

Verse 4

Tazama na watoto yatima wanakulilia

Nao mama wajane nao wakusubiria

Tazama nao wazee

Tazama nao wafungwa

Tazama nao wagonjwa

Uhimidiwe ee Bwana Yesu

Verse 5

Oo Tuserebuke - tuserebuke tumtangaze ahimidiwe *2

Tuserebuke kwa shangwe na tuserebukenpamoja na tuserebuke ahimidiwe

Dunia nzima tuserebuke tumtangaze huyoo