SectionsExitUfurahi Moyo Wao (Iii)

Ufurahi Moyo Wao (Iii)

Ordinary TimeExit
Chorus

{ Ufurahi moyo wao wamtafutao Bwana

Mtakeni Bwana nguvu zake

Utafuteni uso wake siku zote siku zote } *2

Verse 2

Mshukuruni Bwana liitieni jina lina lake

Wajulisheni watu matendo matendo yake

Verse 3

Zikumbukeni ajabu zake alizozifanya

Miujiza yake na hukumu ya kinywa chake

Verse 4

Yeye Bwana ndiye Mungu wetu ndiye Mungu wetu

Dunia yote imejaa hukumu zake