Ufalme Wa Mungu

,Ordinary TimePresentation of Gifts
Verse 1

Ufalme wa Mungu umekuwa kama yule

Aliyewaita watumwa wake

Akampa moja talanta tano na mwinginentalanta mbili na wa mwisho talanta

Talanta yako ndugu yangu uitumie kwa wote x2n

Usipoitumikia, utakuja kuangamia

Yule wa kwanza akaongeza talantantano na wa pili akaongeza ingine mbili,naliyepokea talanta moja alimjia Bwananwake na ile ile talantan

Talanta ya Bwana ndugu yangu talantanya Mungu uliyopewa uifanyie kazi,nusiifunike talanta yako uifche mwishonutakuja kuangamia