Verse 1
Tumwangalie Mkombozi,nakitundikwa masalabani; tutatambuanupenzi, aliotupenda moyoni
Chorus
Twimbe, twimbe, jamani:
Salaam Yesu msalabani! *2n
Verse 3
Msalabani sio mtiwe, tunaotokankuheshimu; ila ni Yesu mwenyewe, kwanbinadamu mwaga damu
Verse 4
Tuusifu sana mti huu, Yesu akauchagua;nkwa mapendo yake makuu deni zetunkuzilipia.
Verse 5
Kwa stahimilize msalaba, twapatanmsamaha wa dhambi; ni Yesu mwenyenkumuomba, Babaye Mungu wetu Rabi.
Verse 6
Msalaba kwa zake nguvu, Uwingunwafunguliwa; yakoma enzi ya mwovu,nna utumwa waondolewa.