Chorus
Twimbe kwa shangwe na furaha *2
Bwana ametufanyia makuu
Verse 2
Tuingie kwake Mungu wetu,
Tuingie kwake kwa shukrani,
Bwana ametufanyia makuu
Verse 3
Yeye ndiye Mungu wa miungu,
Yeye ndiye Bwana wa mabwana,
Bwana ametufanyia makuun
Verse 4
Bwana ni mfalme wa wafalme,
Yeye ndiye Baba wa viumbe,
Bwana ametufanyia makuu
Verse 5
Ametenda mambo ya ajabu,
Aliye gizani hatajua,
Bwana ametufanyia makuu
Verse 6
Tuingie kwake Muumba wetu
Tuingie kwake kwa shukrani
Bwana ametufanyia makuu
Verse 7
Sifa na heshima kwake Mungu
Mwenye utukufu wa ajabu
Bwana ametufanyia makuu