Chorus
Twimbe kwa shangwe na furaha x2
Twimbe masifu yake Mungu Baba yetu
Verse 2
Mungu wa amani na mapendo
Mwenye utukufu wa ajabu
Mungu wetu Mungu milele
Verse 3
Mungu mwenye haki na ukweli,
Mwenye radhi nyingi na rehema
Mungu mwema mwema ajabu
Verse 4
Mungu wetu chanzo cha hekima,
Mwenye nguvu zote na heshima.
Mungu wetu Baba milele
Verse 5
Mungu wa ujuzi na fahamu.
Mwenye kuchunguza kila kitu.
Mungu kweli, kweli daima
Verse 6
Mungu mwenye kuumba ulimwengu,
Mwenye kuzishika mbingu zote,
Mungu muumba mwenye uwezon
Verse 7
Mungu mhifadhi wa maisha,
Mwenye kututunza kila saa
Mungu mwema, mwema daima.n
Verse 8
Mungu mwenye enzi wa milele
Mwenye utawala wa kudumu,
Mungu wetu Mungu mtukufu