SectionsEntranceTwendeni Wote

Twendeni Wote

Ordinary TimeEntrance
Chorus

Twendeni wote, twendeni wote

Tumwabudu Bwana ( kwa furaha )

Verse 2

Bwana ni mtawala amevaa utukufun

Verse 3

Mbingu zifurahi dunia ishangilie

Verse 4

Mashuhuda yake yanastahili imani

Verse 5

Anatutawala kwa haki na uamini

Verse 6

Tumpigie shangwe mwamba wa wokovu wetu

Verse 7

Njooni tumsujudu yeye aliyetuumba

Verse 8

Kwa nyimbo za sifa tujongee uso waken

Verse 9

Enyi waadili tukuzeni jina lake