SectionsEucharistTwendeni Wote Kwa Bwana

Twendeni Wote Kwa Bwana

Eucharist
Chorus

Twendeni wote kwa Bwana, atualikankaramuni, tukale mkate wa mbingu.

Verse 2

Yeye mwenyewe ni Mungu,

Na pia ni mwanadamu, jamani

Verse 3

Yeye ni mkate halisi,

Yeye ni shibe halali, jamani.

Verse 4

Yeye ni Mwana wa Mungu,

Mtawala Mkuu wa mbingu, jamani

Verse 5

Yeye ni penzi la Baba,

Yeye ni Neno la Baba, jamani.

Verse 6

Yeye ni mwanga wa kweli,

Tena ni njia ya kweli, jamanin

Verse 7

Yeye ni mpenzi wa wote,

Faraja kweli kwa wote, jamani

Verse 8

Yeye ni mlango wa mbingu,

Tuzo na heri ya mbingu, jamani.