Verse 1
Twendeni wakristu tumealikwa karamu ya Bwana.n
Chorus
Mwili wake, mwili wake ni chakula kweli
Damu yake, damu yake ni kinywaji kweli
Sistahili uje kwangu Yesu lakini sema neno moja,nna roho *3 yangu itapona *2n
Verse 3
Mwili wake Kristu ilitolewa kwa ajili yetun
Verse 4
Damu yake Kristu ilimwagika kwa ajili yetu
Verse 5
Ilitolewa kwa maondoleo ya dhambi zetu