Chorus
Twendeni kwa Bwana, kutoa zawadi
Na sadaka zetu, tumtolee Mungu kwa moyo
Verse 2
Twendeni kwa Bwana kutoa zawadi
Na sadaka zetu kwa moyon
Verse 3
Tutoe kwa Bwana hata fedha zetu
Ametujalia amani
Verse 4
Mkate na divai Baba upokee
Vyote mali yako pokea
Verse 5
Mungu wa amani Baba wa upendo
Pokea vipaji vyetu twaleta