Twende Wote

Offertory
Chorus

Twende wote tukatoe sadaka kwa Bwana.

Twende wote tukatoe sadaka kwa Bwana x2.n((twende) Twende tukatoe x2],ntwende wotentukatoe sadaka kwa Bwana x2] x2)

Verse 2

Tukatoe mkate, kiini cha ngano;

Twende tukatoe sadaka kwa Bwana

Verse 3

Tukatoe Divai, tunda la mzabibu;

Twende tukatoe sadaka kwa Bwana

Verse 4

Tukatoe mazao, ya mashamba yetu;

Twende tukatoe sadaka kwa Bwana

Verse 5

Nayo maisha yetu, anatutakasa;

Twende tukatoe sadaka kwa Bwana