Chorus
{ Twende mezani kwa Bwana tukale chakulan(cha Bwana) atualika (Bwana) Bwana
Sisi twende mezani kwake, tukale chakula } *2
Verse 2
Bwana asema, karibuni pasi wasiwasi
Mpate chakula, mkila mpate uzima ujao
Verse 3
Bwana asema, chakula nitakachowapa
Ni mwili wangu, kuleni mpate uzima ujao
Verse 4
Bwana asema, kinywaji nitakachowapa
Ni damu yangu, kunyweni mpate uzima ujaon