Verse 1
Twaleta sadaka zetu - e Baba pokea
Jasho la mikono yetu twaomba uzipokee *2
Chorus
Mbele ya altare yake, twaleta na nyoyo zetu
Kwa huruma yako Baba, twaomba ututakase
Verse 3
Twaleta mazao yetu - e Baba pokea -
Verse 4
Twaleta mkate wetu - e Baba pokea
Verse 5
Twaleta divai yetu - e Baba pokea-