Verse 1
Twakupa sadaka yetu - Bwana pokea
Uifanye mali yako - Bwana pokea
Chorus
Ndicho tulicho nacho (Bwana) Mungu pokea, twaomba *2
Verse 3
Upokee huo mkate - Bwana pokea
Upokee nayo divai - Bwana pokean
Verse 4
Pokea na fedha zetu - Bwana pokea
Pokea mazao yetu - Bwana pokean
Verse 5
n//hitimisho//n
Pokea ee Mungu pokea pokea ee Bwana Mungu