Twaileta Sadaka
Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
Twaileta Sadaka *3 Twaomba pokea Bwana *2n(Leba mwenu twaijaji)Twaija na matuma kiazi *2
Verse 2
Mazao ya mashambani na fedha za mifukoni
Twazileta Baba twaomba pokea Bwana
Verse 3
Na kazi tunazofanya twaomba zikupendeze
Tunakuomba Baba twaomba pokea Bwana
Verse 4
Pia na shida zetu zisiwe kelele kwako
Tunakusihi Baba twaomba pokea Bwana
Verse 5
Na nyimbo tunazoimba twaomba zikupendeze
Tunakuomba Baba twaomba pokea Bwanan