SectionsEucharistTwaeni Mle Wote

Twaeni Mle Wote

Ordinary Time,Wedding,Ordinary TimeEucharist
Chorus

Twaeni mle wote (huu ndio mwili wangu)

Twaeni mnywe wote (hii ndio damu yangu)

Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi x4

Verse 2

Yesu, alitwaa mkate, akashukuru, akaumega,nakawapa wafuasi wake, akisema.n

Huu, ndio mwili wangu, twaeni mle wote,nakawapa, fanyeni hivi,nkwa kunikumbuka mimin

Hii, ndiyo damu yangu, twaeni mnywenwote, akawapa, hiki ni kikombe,ncha damu yangun