SectionsOffertoryTutawapeni Pesa

Tutawapeni Pesa

Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,EasterOffertory
Chorus

Haya enyi makamanda, leteni mchango wenu *2

Nguvu ya hoja itawa-ale,

Hawa walinzi wameleta habari kuwa kweli amefufuka, amefufuka *2

Sikieni mimi natoa hoja ya nguvu, hoja yangu kweli ya nguvu

Jambo hili likisikika, likisikika katika Uyahudi

Na Samaria itakuwaje aibu hiyo elezeni *2

Verse 2

Hivyo ninyi walinzi, seme-ni

Wanafunzi wake wamemwiba Bwana wao *2

Sisi tulipokuwa tumelala *2

Chorus

{ (Tutawapeni mapesa) tutawapeni mapesa,

Tutawajaza mapesa, mapesa mtajazwa } *2

Na msiogope kwa ajili ya hilo * 2n{ Wakuu wa nchi wakisikia tutaongea nao

Wakuu wa nchi hao tutasema nao } *2na. Siku ile ya kufufuka Bwana, maaskari walitetemeka

Wakaenda kwa upesi kumwona jemedari mkuu kumpasha habari

Verse 4

b. Jemedari akafadhaika akawaita watu pamoja kwa shauri;

Wakafanya shauri juu ya jambo hili lipate sura, sura mpya.

Verse 5

c. Dunia yetu siku hizi yafananaje na haya mambo yaliyotokea;

Ukweli unapindishwa ili lile la uongo liwe kwelin