Tusimame Ndugu
Presentation of Gifts
Verse 1
Tusimame ndugu (leo) twende kwake Bwanan(kweli) tusisite ndugun(amka) twende hima (*2)
Chorus
Beba mikononi (mwako) uliojaliwan(leo) peleka kwa Bwana (Mungu)nupate baraka (*2)
Verse 3
(Peleka kwa moyo (ule) moyo wa mapendon(kweli), peleka kwa Bwana (yale)nuliyojaliwa ) *2
Verse 4
(Sadaka ya fedha (kweli) fedha za mifukon(ndugu), amka upeleke (leo)nmezani pa Bwana) *2
Verse 5
(Mavuno, mifugo (vyote) ni mali ya Bwanan(kweli), amka upeleke (leo)nmezani pa Bwana) *2
Verse 6
(Mkate Divai (vyote) tupeleke kwaken(kweli), tupate baraka (tele)nmbele zake Bwana) *2
Verse 7
(Twende ndugu twende (hima) mbelenzake Bwana, (Mungu)ntupeleke nafsi zetu kwake Bwana) *2n