Verse 1
Njooni waumini, njooni watu wote
Tuwashangilie hawa wenzetu *2
Chorus
(Tuserebuke iyo)
Tuserebuke wote tuserebuke *4
Tuwashangilie wenzetu
Verse 3
Njooni kina Baba njooni kina mama
Tuwashangilie hawa watumishi *2
Verse 4
Njooni ee vijana wazee watoto
Tuwashangilie Yesu awapenda *2
Verse 5
Kutoka kusini na kaskazini
Tuwashangilie na twimbe leo *2
Verse 6
Toka magharibi hata mashariki
Tuwashangilie wanameremeta *2