SectionsExitTusali Pamoja

Tusali Pamoja

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Hee! subiri niwakumbusheni jambo lilo jema wakristu

Kweli tusikie vyema kwa makini

Kweli we kijana wewe Baba mama mtuelewe

Hebu sikia na kutekeleza, hebu sikia na kufanyia kazi

Kanisa litajengwa kwa familianzinazosali pamoja kwa upendo na

Kukaa kifamilia kushirikishana matatizo yao na kuyatatua

Verse 2

Jumuiya zetu na ibada mbali mbali

Zimekuwa haswa ni za kina mama

Jumuiya nyingi zimejaa mama zetu

Familia gani zilizokosa baba

Verse 3

Jumuiya zetu hazina vijana

Familia gani zisizo na vijana

Tumewaachia hasa mama zetu

Kusali si kwa mama ni familia nzima

Verse 4

Familia yaundwa baba mama na mtoto

Iweje kusali baba haonekani

Kama ni motto yule wa mgongoni

Usiyemuacha peke yake nyumbani

Verse 5

Vijana ni wengi wapo mitaani

Ukiwafuatafuata wasema wako bize

Wamemsahau hata Mungu wao

Siku wanayojua, Jumapili pekee