SectionsEntranceTunyunyizie Maji Ii

Tunyunyizie Maji Ii

Ordinary TimeEntrance
Chorus

Tunyunyizie maji,nee Bwana ututakase dhambi zetu

Verse 2

• Nami nitawapa ninyi, moyo mpyan• Nami nitatoa, moyo wenu wa jiwen• Nami nitawapa, moyo wa nyaman• Nitatia roho yangu, ndani yenun• Nitawaendesha, katika sheria zangun• Nanyi mtakuwa, watu wangun• Nami nitakuwa, Mungu wenu