Chorus
Ewe Mama Maria, Mama yetu Mwema
Mama wa Mungu. Sisi wanao leo,
Tunakusalimu, salamu Mama
Verse 2
Mama yetu mwema, Mama yetu Maria
Sisi tunakupenda, tunakupenda sana.
Verse 3
Mama yetu mpenzi, sikia ombi letu
Katika shida zetu, kwa Mwanaontuombee
Verse 4
Mama mbarikiwa, Mama saf wa moyo
Mama mwenye huruma, uwe nasi daima