Chorus
Tunakuomba, upokee Baba
Zawadi zetu leo hii
Sisi wanao tunaleta kwako
Zawadi zetu leo hii
Mkate na divai, mavuno ya shamba
Tunaomba upokee, hata nafsi zetu
Tunakutolea tunaomba upokee
Verse 2
Vipaji vyetu twavileta
Uvibariki uvitakase
Vipaji vyetu vigeuze
Vifanye viwe mwili na damun
Utujalie afya nzuri
Tuendelee kufanya kazi
Msaada wako twauomba
Kwenye maisha ya kila sikun
Uibariki misa yetu
Na sala zetu, na nyimbo zetu
Nasi wenyewe tubariki
Utufkishe huko mbinguni