SectionsOffertoryTunakuja Na Vipaji

Tunakuja Na Vipaji

Ordinary TimeOffertory
Verse 1

Tunakuja na vipaji vyetu, mbele zako ee Bwana

Tunatoa shukurani zetu, kwako Baba Muumba

Chorus

Tunaleta mavuno, Bwana Mungu pokea

Tunaleta na fedha, Bwana Mungu pokea

Mkate na divai, Twakuomba upokee

Verse 3

Ni matunda ya mashamba yetu, uliyotujalia

Ndilo jasho letu sisi Bwana, twakuomba pokea

Verse 4

Watumishi wako tunakuja, na zawadi kidogo

Twakusihi sana Mungu Baba, pokea mikononi

Verse 5

Nafsi zetu zote mali yako, utupokee sisi

Ee Bwana utujalie afya, uzima na barakan