Tuna Haki Kufurahiwa
Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Verse 1
Tuna haki kufurahiwa leo, manabii walivyoagua
Yatimia sawasawa na chuo Rabi yetu amejifufuan
Verse 2
Mayahudi husema kwa kiburi amekwisha, juzi tukamwua
Kaburile limetimiwa mhuri, jiwe zito hapana fungua
Verse 3
Mambo gani niambie Yahudi, Askari mbio wakimbia
Wana woga hao mjini warudi, kaza jiwe mhuri mpya tian
Verse 4
Yahudi we, bure mashauriyo, sawa mshale urushwao juu
Ukianguka afumwaye ni huyo, za kupata hila zako kuu
Verse 5
Mpumbafu we na Mungu kushindana, ukiwaza kumfunga kwa jiwe
Kaburini Rabi hayumo tena, iwo iwo kaamka mwenyewe
Verse 6
Rabi yangu kweli amefufuka, na hakika ya imani yangu
Nayo basi kwa Yahudi kushtuka, mfumba domo, kimya kwa uchungu