SectionsExitTuna Haki Kufurahiwa

Tuna Haki Kufurahiwa

Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Verse 1

Tuna haki kufurahiwa leo, manabii walivyoagua

Yatimia sawasawa na chuo Rabi yetu amejifufuan

Verse 2

Mayahudi husema kwa kiburi amekwisha, juzi tukamwua

Kaburile limetimiwa mhuri, jiwe zito hapana fungua

Verse 3

Mambo gani niambie Yahudi, Askari mbio wakimbia

Wana woga hao mjini warudi, kaza jiwe mhuri mpya tian

Verse 4

Yahudi we, bure mashauriyo, sawa mshale urushwao juu

Ukianguka afumwaye ni huyo, za kupata hila zako kuu

Verse 5

Mpumbafu we na Mungu kushindana, ukiwaza kumfunga kwa jiwe

Kaburini Rabi hayumo tena, iwo iwo kaamka mwenyewe

Verse 6

Rabi yangu kweli amefufuka, na hakika ya imani yangu

Nayo basi kwa Yahudi kushtuka, mfumba domo, kimya kwa uchungu