Tumshukuru Mungu
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1
Tumshukuru Mungu kwa ukarimu wa-ke (pia)
Pia na wema wake kutupenda namna hii
Chorus
{ Nitazame - nitazame mimi (kisha ) nawe jitazame } *2n(waweza) kuwa umeo-na (kama) tuko tofauti sura
Nna hata matendo ( yetu) ni tofauti kweli
Lakini Mungu wetu - wala habagui
Anatupenda sote - ni vyema kumshukuru
Verse 3
Matendo yake hayachunguziki, Mungu wetu (kweli)
Kweli hatupaswi kuyachunguza mambo haya
Verse 4
Mawazo yetu sisi yana upeo wake (wala)
Hatuwezi kujua siri za Mungu wetu
Verse 5
Twapaswa kushukuru kwa vyote tulivyo navyo
Kwani kila kitu tumepewa na Mungu pekee